1 option
Mguu nje, mguu ndani / Crarency Sanga.
Van Pelt Library PL8704.S35 M48 2022
Available
- Format:
- Book
- Author/Creator:
- Sanga, Crarency, author.
- Language:
- Swahili
- Subjects (All):
- Swahili literature.
- Genre:
- Novels.
- Fiction.
- Physical Description:
- 105 pages ; 20 cm
- Other Title:
- Subtitle on cover: Karibu mchezoni
- Place of Publication:
- [Dar es Salaam, Tanzania] : Kijogoo Bookshop & Publishers, [2022]
- Language Note:
- In Swahili.
- Summary:
- Ukimya wa sekunde kadhaa ulitosha kumuaminisha yule aliye nje usalama wa chumba kile. Mwanaume aliyeziba sura yake akiwa amevalia buti aliingia ndani ya kile chumba bila wasiwasi wowote. Hilo ni kosa lililokuwa likisubiliwa kwa muda wote no mwenyeji wake, Kelvin Kamba. Risasi yenye kiu ya damu ilisafiri katika mstari mnyoofu, kwenda kukita kwenye shingo ya mvamizi yule. Lilikuwa ni shambulio la kushitukiza lililomrusha chini huku akisindikizwa na risasi nyingine kifuani iliyokita upande wa kushoto kwenye benki ya uhai wake na papo hapo akatulia chini kimya. Kilikuwa ni kitendo cha kustaajabisha alipoikia mijongeo mingi kama ya watu wakikimbia kurudi nje, hapo akaiweka akili yake katika mapambo ambayo hakujua idadi ya mahasimu wake.
- Notes:
- A novel.
- OCLC:
- 1431905005
The Penn Libraries is committed to describing library materials using current, accurate, and responsible language. If you discover outdated or inaccurate language, please fill out this feedback form to report it and suggest alternative language.