My Account Log in

1 option

Kirusi kipya / Halfani Sudy.

Van Pelt Library PL8704.S8465 K57 2022
Loading location information...

Available This item is available for access.

Log in to request item
Format:
Book
Author/Creator:
Sudy, Halfani, author.
Language:
Swahili
Subjects (All):
Presidents--Assassination--Tanzania--Fiction.
Presidents.
Drug dealers--Tanzania--Fiction.
Drug dealers.
Swahili fiction--Tanzania--21st century.
Swahili fiction.
Genre:
Novels
Novels.
Thrillers (Fiction)
Physical Description:
291 pages ; 20 cm
Place of Publication:
Dar es Salaam, Tanzania : Mkuki na Nyota Publishers Ltd, [2022]
Language Note:
In Swahili.
Summary:
"Askari wa kike, Hannan Halfani anagundua siri kubwa ya kupangwa kwa mpango wa kumuua rais Mark Mwazilindi akiwa katika maliwato ya ikulu. Kutoka katika mdomo wa Hannan, anaisafirisha siri hiyo hadi katika sikio la mpelelezi mahiri nchini Tanzania, Daniel Mwaseba. Daniel na Hanna wakishirikiana na mpelelezi wa kujitegemea, Martin Hisia, wanaingia kazini na kuanza kuchunguza kisa cha kupangwa kwa kifo cha rais. Unakuwa ni uchung uzi mgumu sana. Uchunguzi unaowa-pitisha katika msitu mnene na unaowapitisha katika matukio ya kutisha isivyo kawaida. Uchunguzi unaowafanya wawe karibu na kifo kuliko wakati wowote katika maisha yao ya kipelelezi. Kwa hakika, kunakuwa na mstari mwembamba sana kati ya maisha yao na kifo Bila kujua, kumbe walikuwa wameingia katika anga hatari sana za wafanyabiashara wakubwa wa madawa ya kulevya nchini Tanzania. Madawa ambayo kwa sasa yamekuwa ni KIRUSI KIPYA. Wafanyabiashara hawa wanapanga kumuua rais Mark kwa kuwa amekuwa ni kikwazo kikubwa sana katika biashara zao. Wakina Daniel wanajikuta na kazi kuu mbili ngumu sana kuliko zote walizowahi kuzifanya, ya kwanza ni kuzuia kuawa kwa rais, ya pili ni kuwatia mbaroni watanvabiashara wote wa madawa havo haramu. Je wakina mpelelezi Daniel Mwaseba na wenzake watafanikiwa?" -- page [4] of cover.
Notes:
"Riwaya hii imeshinda tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya fasihi, ya Afrika, mwaka 2021"--Cover
ISBN:
9789987082049
9987082041
OCLC:
1426035630

The Penn Libraries is committed to describing library materials using current, accurate, and responsible language. If you discover outdated or inaccurate language, please fill out this feedback form to report it and suggest alternative language.

Find

Home Release notes

My Account

Shelf Request an item Bookmarks Fines and fees Settings

Guides

Using the Find catalog Using Articles+ Using your account