My Account Log in

1 option

Uhasama kilimani / Masereka George Black.

Van Pelt - Zilberman Family Center for Global Collections PL8704.M347 U43 2017
Loading location information...

By Request Item cannot be checked out at the library but can be requested.

Log in to request item
Format:
Book
Author/Creator:
Masereka, George Black, author.
Language:
Swahili
Subjects (All):
Africa--Fiction.
Africa.
Swahili language--Texts.
Swahili language.
Genre:
Fiction.
Texts.
Physical Description:
iii, 156 pages ; 20 cm
Edition:
Toleo la kwanza.
Place of Publication:
Kampala : Fountain Publishers, [2017]
Language Note:
In Swahili.
Summary:
"Wenyeji wa Bwera walikuwa wametaabika kitambo. Walikuwa wamechoshwa kwa maisha yaliyokuwa kila kukicha yakibadilika kama hali ya hewa katika majira ya masika. Wengi wao wakaishi tu kwa kujutia kwa nini walizaliwa. Kuishi kwa masharti na kwa usimamizi kulikuwa hakuchi kuwakera na kuwakereketa. Kulikuwa na utifu mwingi, utifu uliowafanya wote waathirike kwa zahama zilizotokea. ... Sambara Kibelu, wakala na liwali mkuu wa mfalme aliwaongoza kwelikweli. Akawawekea masharti ya amri kuhusu maisha katika jamii yao kwa ujumla. Haiaminiki bali ni kweli kuwa nyakati hizo hata mkembe kulialia ovyo usiku, ilimsababishia mama yake kuchota adhabu ambayo angeishi kuikumbuka. Matembezi yoyote ya usiku yakaharimishwa. Ikawabidi wenyeji kuishi wakiwa chonjo kila kukicha kwa jitihada za kutovunja hata chembe moja ya masharti yaliyokuwa yamewajia kama upara."--Page 4 of cover
Notes:
A novel.
ISBN:
9789970259571
9970259571
OCLC:
1128891600

The Penn Libraries is committed to describing library materials using current, accurate, and responsible language. If you discover outdated or inaccurate language, please fill out this feedback form to report it and suggest alternative language.

Find

Home Release notes

My Account

Shelf Request an item Bookmarks Fines and fees Settings

Guides

Using the Find catalog Using Articles+ Using your account