1 option
Hawara / Hafidh A. Kido.
Van Pelt - Zilberman Family Center for Global Collections PL8704.K535 H39 2022
By Request
- Format:
- Book
- Author/Creator:
- Kido, Hafidh Athumani, 1982- author.
- Language:
- Swahili
- Subjects (All):
- Swahili fiction--Tanzania--21st century.
- Swahili fiction.
- Swahili literature--Tanzania--21st century.
- Swahili literature.
- Sex role--Tanzania--Fiction.
- Sex role.
- Genre:
- Fiction.
- Novels
- Physical Description:
- v, 120 pages : portrait ; 20 cm
- Edition:
- Chapa y Kwanza.
- Place of Publication:
- Dar es Salaam, Tanzania : Dhahabu Publishers, 2022
- Language Note:
- In Swahili.
- Summary:
- "Katika maisha tunayoishi, kumekuwa na swali ambalo jibu lake si jepesi kupatikana au halipatikani kabisa. Kwamba, Hivi mwanamke ni nani hasa?! Je, ni mtoto, ni dada, ni shangazi ni Mama au ni Bibi? Wakati ukitafuta jibu la swali hili, huenda unaweza kuchanganyikiwa pale utakapotafakari kwa kina na kujiuliza tena, Je, nini wajibu na nafasi ya mwanamke katika jamii?! Ni uzazi? Ulezi wa familia, au kiburudisho kwa wanaume walafi wasio na staha?! Kupitia riwaya hii ya Hawara, Hafidh Kido kwa mara nyingine tena anaitumia kalamu yake vyema kutafuta majibu ya maswali hayo, akiangalia mila, desturi na taratibu za maisha katika jamii za watanzania. Jamii zinazomtazama mwanamke kama aina fulani ya kitu badala ya mtu. Kido anaichambua si tu nafasi ya na wajibu wa mwanamke katika jamii, bali pia anaitazama kwa kina nafasi na wajibu wa jamii kwa mwanamke. Hiki ni kitabu ambacho kitakufunulia mengi na vingi kuhusu mwanamke na jamii inayomzunguka." -- Back cover
- Notes:
- A novel.
- ISBN:
- 9789987934553
- 9987934552
- OCLC:
- 1371410308
The Penn Libraries is committed to describing library materials using current, accurate, and responsible language. If you discover outdated or inaccurate language, please fill out this feedback form to report it and suggest alternative language.